Bukavu : boulangerie Upendo inakuleteya mikate za kisasa na nzuri

0
194

Wazazi wapenzi kwa ajili ya afya ya watoto wetu na hata jamaa yote  tangu Sasa tumiya mkate inayo tengenezwa na boulangerie UPENDO   ipatikanayo pa brasserie kifuwani na bandari ya bateau RAFIKI.

Chini ya uwongozi wake MZEE ANICET MUSWAHILI,Kwa expérience yake tunatengeneza MIKATE yenye rehe nzuri na tamu sana kwa beyi nzuri kabisa, MIKATE kama vil:

Crémique ,Grand Super,Petit Super,Spécial,Pistolet,Sandwich
Na Grand Borise.. Na kazawakaza.

Ndugu mpenzi, mikati za aina zote utazipata kwa mzée MUSWAHILI ,
tunauzisha gros  na détails kwa beyi zote milango zetu ziko wazi Siku zote  na kwa saa zote .

Mzée MUSWAHILI amefunguwa mulango piya katika Soko ya beach muhanzi ambapo unaweza nunuwa mkate nzuri .
Hapa karibuni tutafunguwa mulango pa rond Point Communale huko BAGIRA.
Hayo yote ni kwa lengo yakupiganisha ukosefu wa mkate katika mjii wa Bukavu na katika jamaa Yako.

Kwa mafasiriyo zaidi unaweza piga number hii +243990315319 na hapo una elezwa mengi kuhusu mkate bora yenye vitamine inayo tengenezwa kwa ujuzi wake mzee MUSWAHILI .
Mkate hiyo ni yenye kilo KABISA, jibu ipo kwenye mulango Yako.
Wanawo itumiya wanatowa ushuhuda.
Karibu Karibu

sé/Pierrot Ganywamulume

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here